Spika
wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Balozi wa Iran
nchini Tanzania, Mousa Farhang (kulia), alipomtembelea leo Ofisini
kwake Mjini Dodoma.
Spika
wa Bunge, Job Ndugai (kushoto)akizungumza na Balozi wa Iran
nchini Tanzania, Mhe. Mousa Farhang (katikati), katika kikao
kilichofanyika leo Ofisini kwake Mjini Dodoma. kulia ni Msaidizi wa
Balozi wa Iran Ndg. Zuhura Ally.
Spika
wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akipokea ujumbe Maalum kutoka
kwa Spika wa Bunge la Iran, uliowasilishwa leo na Balozi wa Iran nchini
Tanzania, Mhe. Mousa Farhang (kulia), katika tukio lililofanyika leo
Ofisini kwake Mjini Dodoma.
SHARE
No comments:
Post a Comment