TRA

TRA

Tuesday, August 29, 2017

Mkurugenzi wa Mifumo ya Tehama kwenye mradi wa PS3

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Mkurugenzi wa Mifumo ya Tehama kwenye mradi wa PS3 Desderia Wengaa akitoa maelezo ya Utangulizi wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya Planrep na FFARS.
Baadhi ya washiriki kutoka Mikoa mitano ya Tanga, Tabora, Manyara, Singida na Dodoma wakati wa mafunzo ya Planrep na FFARS.
Erick Kitali Mkurugenzi wa TEHAMA, OR-TAMISEMI akielezea kwa ufupi mifumo iliyoboreshwa  ya Planrep na FFARS wakati wa mafunzo yanaendelea Mkoani Dodoma

 Katibu Tawala wa Mkoa wa Dododma  Rehema Madenge akifungua mafunzo ya siku nane kwa wataalamu wa Afya, Mipango na Fedha kutoka Mikoa Mitano chini ya ufadhili wa mradi wa Uimarishaji Mifumo (PS3)
 Pichani ni Mgeni Rasmi ambaye ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma Rehema Madenge (Katikati mbele) akiwa na wakufunzi wa mafunzo hayo.(Picha zote na Ofisi ya Rais TAMISEMI)





 

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger