TRA

TRA

Monday, August 21, 2017

POLISI WAUA JAMBAZI ALIYEVAMIA BENKI KWA KUTOBOA UKUTA

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


SeeBait
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tarime Rorya lililazimika kutumia risasi za moto kumdhibiti mtu mmoja ambaye alivamia Bank ya NBC usiku akidaiwa kuingia baada ya kutoboa ukuta.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tarime Rorya Henry Mwaibambe amesema Jeshi hilo linaendelea kufanya uchunguzi kuhusu mtu huyo ambaye hakufahamika jina wala umri ambaye alivamia Bank hiyo mara mbili.

”Jeshi la Polisi linaendelea kufanya uchunguzi wa tukio la ajabu kidogo. Tarehe 19, Saa Sita na dakika Nne usiku, mtu mmoja ambaye hakufahamika jina lake wala umri amefariki dunia baada ya kujeruhiwa kwa risasi na askari Polisi waliokuwa kwenye lindo la Bank ya NBC.” – Kamanda Mwaibambe.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger