TRA

TRA

Monday, August 21, 2017

Utafiti: WANAWAKE WENGI HUVUTIWA ZAIDI NA WANAUME WANAOKULA SANA MBOGA ZA MAJANI

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Utafiti mpya uliofanywa Australia umeonesha kuwa wanawake wengi huvutiwa zaidi na wanaume wenye tabia ya kula mboga za majani kwa wingi.
Timu ya Watafiti kutoka Macquarie University, Australia wamebaini katika Utafiti wao kuwa wanaume ambao hutumia mboga za majani na matunda kwa wingi huwa na rangi nzuri ya ngozi, hunukia vizuri na wanakuwa na afya nzuri zaidi kuliko wanaume wanaokula vyakula vya wanga kwa wingi.
Watafiti hao pia wamebainisha kuwa wanaume ambao wanapenda kula nyama kwa wingi miili yao hutengezeka harufu nzito ambayo haijabainishwa kuwa ni nzuri au mbaya wakati wale wanaopenda kula vyakula vizito vya wanga hutoa harufu isiyo nzuri.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger