ALI KIBA,
NANDY WASANII PEKEE KUCHAGULIWA KWENYE TUZO ZA AFRIMA NOVEMBA 2017 KUTOKA COKE-STUDIO
AFRIKA MSIMU HUU WAKIWAKILISHA TANZANIA.
Ali Kiba na Nandy ndio wasanii pekee wa
Tanzania wa Coke-Studio Afrika msimu huu ambao wameingia kuwania tuzo za Afrima 2017, ambapo tuzo hizo zitafanyika Novemba
mwaka huu.
Majina hayo yaliyotangazwa wiki hii
jijini Lagos, yamejumuisha wasanii 18 kutoka Coke Studio Afrika watakao wania
tuzo hizo za Afrimma 2017.
Ali Kiba na Nandy ndio wasanii pekee wa
Tanzania wa Coke-Studio Afrika msimu huu ambao wameingia kuwania tuzo za Afrima 2017, ambapo tuzo hizo zitafanyika Novemba
mwaka huu.
Majina hayo yaliyotangazwa wiki hii
jijini Lagos, yamejumuisha wasanii 18 kutoka Coke Studio Afrika watakao wania
tuzo hizo za Afrimma 2017. Vipengele viliyotajwa ambapo wasanii hawa watawania
ni Msanii Bora wa Kiume Afrika wa mwaka,
Msanii bora wa Kike wa Afrika wa mwaka, Kundi bora la muziki Afrika, Rapa Bora wa Kiume Afrika,
nyimbo bora ya kushirikiana, Wimbo Bora wa mwaka, Mwandishi Bora wa mwaka na Mtayarishaji
Bora wa muziki.
Ali kiba ameweza kuchaguliwa katika
vipengele viwili kuwania kuwa Msaniii Bora wa Kiume Afrika Mashariki akichuana
na msanii kutoka Uganda, Eddy Kenzo. Pia Wimbo Bora wa kushirikiana “AJE” alioimba
na M.I msanii kutoka Nigeria, akichuana na msanii kutoka Msumbiji Jah Prayzah nyimbo “Watora Mari” aliooimba na
Diamond Platinum na Locko Ft. Mr Leo.
Wasanii wengine kati ya hao 18 ni Yemi
Alade, AKA, Runtown, Nasty C, Eddy Kenzo, Locko, Anselmo Ralph, Jah Prayzah, Busiswa,
Amanda Black, Kiff No Beat, Mafikizolo, Micasa, Bebe Cool, Nyashinski na
Olamide wakishindania vipengele tofauti.
Hii imekuwa ni mara ya nne kwa msaanii
Ali kiba kuwania tuzo za Afrima, Pia imekuwa bahati ya kipekee kwa msanii wa
kike Nandy kushiriki musimu huu wa Coke-Studio Afrika kwa mara ya kwanza na
kufanikiwa kuwania tuzo za Afrima kwa mara ya kwanza.
Wasanii wa Tanzania
wanaoshiriki msimu huu wa Coke-Studio 2017 ambao watafanya kolabo na
wanamuziki kutoka nchini nyingine za Afrika ni Rayvany, Izzo Bizness, Ali Kiba na Nandy. Baadhi ya wasanii wakali wengine
kutoka Tanzania waliowahi kushiriki onyesho hilo ni Lady Jay Dee, Diamond Platinum,
Vanessa Mdee, John Makini, Shaa, Ben Paul, Fid Q na kikundi cha Zanzibar
Culture Music Taarab.
Vipengele viliyotajwa ambapo wasanii hawa watawania
ni Msanii Bora wa Kiume Afrika wa mwaka,
Msanii bora wa Kike wa Afrika wa mwaka, Kundi bora la muziki Afrika, Rapa Bora wa Kiume Afrika,
nyimbo bora ya kushirikiana, Wimbo Bora wa mwaka, Mwandishi Bora wa mwaka na Mtayarishaji
Bora wa muziki.
Ali kiba ameweza kuchaguliwa katika
vipengele viwili kuwania kuwa Msaniii Bora wa Kiume Afrika Mashariki akichuana
na msanii kutoka Uganda, Eddy Kenzo.
Pia Wimbo Bora wa kushirikiana “AJE” alioimba
na M.I msanii kutoka Nigeria, akichuana na msanii kutoka Msumbiji Jah Prayzah nyimbo “Watora Mari” aliooimba na
Diamond Platinum na Locko Ft. Mr Leo.
Wasanii wengine kati ya hao 18 ni Yemi
Alade, AKA, Runtown, Nasty C, Eddy Kenzo, Locko, Anselmo Ralph, Jah Prayzah, Busiswa,
Amanda Black, Kiff No Beat, Mafikizolo, Micasa, Bebe Cool, Nyashinski na
Olamide wakishindania vipengele tofauti.
Hii imekuwa ni mara ya nne kwa msaanii
Ali kiba kuwania tuzo za Afrima, Pia imekuwa bahati ya kipekee kwa msanii wa
kike Nandy kushiriki musimu huu wa Coke-Studio Afrika kwa mara ya kwanza na
kufanikiwa kuwania tuzo za Afrima kwa mara ya kwanza.
Wasanii wa Tanzania
wanaoshiriki msimu huu wa Coke-Studio 2017 ambao watafanya kolabo na
wanamuziki kutoka nchini nyingine za Afrika ni Rayvany, Izzo Bizness, Ali Kiba na Nandy.
Baadhi ya wasanii wakali wengine
kutoka Tanzania waliowahi kushiriki onyesho hilo ni Lady Jay Dee, Diamond Platinum,
Vanessa Mdee, John Makini, Shaa, Ben Paul, Fid Q na kikundi cha Zanzibar
Culture Music Taarab.
SHARE









No comments:
Post a Comment