TRA

TRA

Monday, September 4, 2017

FURSA 2017: “Hakuna wa kukuletea chakula, lazima ukitafute” – Ruge Mutahaba

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba alikuwa miongoni mwa watu waliopata nafasi ya kutoa darasa fupi kwa washiriki wa uzinduzi wa Fursa 2017 uliofanyika Morogoro ambao huambatana na msimu wa Fiesta.
Katika uzinduzi huo ambao mgeni rasmi alikuwa Naibu Spika wa Bunge Dr. Tulia Ackson, Ruge Mutahaba amesema ni miaka mitano sasa tangu Fursa ianze ambapo huwafikia vijana katika mikoa yote ya Tanzania kuzungumza nao na kuona namna wanaweza kujikwamua kutoka sehemu moja kwenda nyingine.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger