Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa
Clouds Media Group, Ruge Mutahaba alikuwa miongoni mwa watu waliopata
nafasi ya kutoa darasa fupi kwa washiriki wa uzinduzi wa Fursa 2017
uliofanyika Morogoro ambao huambatana na msimu wa Fiesta. Katika uzinduzi huo ambao mgeni rasmi alikuwa Naibu Spika wa Bunge
Dr. Tulia Ackson, Ruge Mutahaba amesema ni miaka mitano sasa tangu Fursa
ianze ambapo huwafikia vijana katika mikoa yote ya Tanzania kuzungumza
nao na kuona namna wanaweza kujikwamua kutoka sehemu moja kwenda
nyingine.
No comments:
Post a Comment