
Mahakàma ya Hakimu Mkazi Kisutu imeruhusu Manji na wenzake watatu wahojiwe na Polisi katika kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili.
Uamuzi huo umetolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi ambapo amesema ameruhusu washtakiwa wahojiwe baada ya kuandikiwa barua na Mkuu wa Upelelezi (ZCO)…
"Hivyo nikisema mahakama izuie wasihojiwe itakuwa tunapingana nao, wakati kila siku tunapigiana kelele kuhusu upelelezi kukamilika. Hivyo sifikirii kesi hii kila siku iwe inatajwa tu," alisema.
Hakimu Shahidi alimkabidhi Manji na washtakiwa wenzake kwa Koplo Dotto ambapo amemtaka hadi kesho kwenye muda wa kazi wawe wamerudishwa mahakamani.
SHARE
No comments:
Post a Comment