Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job
Ndugai (wa pili kushoto) akizungumza wakati wa kikao cha pamoja na
Watumishi wa Bunge kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Mjini
Dodoma. kulia ni katibu wa Bunge, Dkt. Thomas kashililah, Kamishna wa
Tume ya Utumishi wa Bunge, Mhe. Magdalena Sakaya (wa pili kulia) na
kushoto ni Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Bunge, Mhe. Mary Chatanda
Watumishi wa Ofisi ya Bunge
wakimsikiliza Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (hayupo kwenye
picha) wakati wa kikao cha pamoja cha Watumishi wa Bunge na Tume ya
Utumishi wa Bunge kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Mjini
Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
SHARE
No comments:
Post a Comment