TRA

TRA

Tuesday, April 25, 2017

MBUNGE WA NZEGA MJINI HUSSEIN BASHE, AKABIDHI GARI LA WAGONJWA NA KUKAGUA MIRADI MINGINE YA MAENDELEO JIMBONI

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM), akikabidhi gari la wagonjwa kwa Mwenyekiti wa Kata ya Nzega ndogo, William Jumanga kwa ajili ya Zahanati ya Zogolo iliyopo wilayani Nzega mkoani Tabora.
(PICHA NA FIDELIS FELIX).
Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM), akizungumza na mgonjwa Agnes Nobert aliyekuwa amelazwa katika Zanati ya Zogolo baada ya kutembelea juzi wilayani Nzega mkoani Tabora juzi.
Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM), akizungumza katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Kata ya Nzega ngodo kabla ya kuwakabidhi gari la wagonjwa juzi
Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe, akionyesha gari la wagonjwa alilolikabidhi kwa viongozi wa Kata ya Nzega ndogo kwa ajili ya Zahanati ya Zogolo iliyopo wilayani Nzega mkoani Tabora juzi.
Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM), akizungumza na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mjini wa Nzega baada ya kukagua ujenzi wa Sekondari ya Nzega ndogo juzi.
Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM), akizungumza na wasimamizi wa ujenzi wa barabara ya Ngudu iliyopo Kata ya Ngeza ndogo mkoani Tabora juzi.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger