• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Wednesday, July 5, 2017

Home > > David Beckham ajitetea kwa kumpiga busu mwanawe

David Beckham ajitetea kwa kumpiga busu mwanawe

at 5:26 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


 
David Beckham akimpiga busu mwanawe wa kike mwenye umri wa miaka mitano mdomoni.

Nyota huyo wa zamani wa klabu ya Manchester United alikosolewa kwa kuchapisha picha akimpiga busu la mdomoni mwanawe wa kike Harper katika mtandao wa Instagram.

Akizungumza katika mahojiano ya moja kwa moja kupitia mtandao wa facebook, Beckham alisema kuwa ''tunataka kuwaonyesha wana wetu mapenzi''.

Mkewe David Beckham, Victoria pia alikosolewa kwa kuchapisha picha akimpiga busu mdomoni mtoto huyo wa kike mwaka uliopita
 
''Nilikosolewa kwa kumpiga busu mwanangu mwaka uliopita'',alisema. ''Pengine siwezi kumfanyia hivyo Brooklyn mwenye umri wa miaka 18 kwa kuwa ataona kama swala la kushangaza.Lakini nina mapenzi tele na wanangu''.

''Hivyo ndivyo nilivyolewa na Victoria na hivyo ndivyo tulivyo na watoto wetu''.

David Beckham, akimpiga busu mwanawe wa kike mwenye umri wa miaka mitano mdomoni

''Tunataka kuwaonyesha watoto wetu mapenzi na kuwalinda, kuwaangalia na kuwasaidia na unajua tuna mapenzi tele nao''.
Nyota wa filamu kutoka nchini Marekani Hilary Duff pia alipokea matusi mwaka uliopita baada ya kupigwa picha akimpiga busu mwanawe wa kiume katika eneo la Disneyland California. 

Kulikuwa na ujumbe uliomkosoa chini ya picha hiyo, lakini akijibu katika mtandao wa Instagram ,Hillary alitetea hatua yake ya kumpiga busu mwanawe.
Unknown

Author: Unknown

SHARE
  • Share
  • Tweet
  • Share
  • Pin
  • Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Tupate kupitia Facebook

Popular Posts

  • WALIMU 2,939 WAKOSA VIGEZO VYA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU
      SERIKALI imesema jumla ya walimu 2,939 sawa na asilimia 19.5 walioomba kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya astashahada na stashahada...
  • Mapigano makali yazuka Damascus
    Mapigano makali yamezuka katika mji mkuu wa Syria Damascus jana Jumapili, baada ya waasi kupenya usiku katika maeneo ya mji huo yanayo...
  • DK KIGWANGALA: SERIKALI INATAMBUA UKATILI WANAOKUMBANA NAO WATOTO
    Na Mahmoud Ahmad Arusha Serikali inatambua ukatili wanaokumbana nao watoto ndio maana imeandaa mkakati wa taifa wa ...

Popular Posts

  • WALIMU 2,939 WAKOSA VIGEZO VYA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU
    WALIMU 2,939 WAKOSA VIGEZO VYA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU
      SERIKALI imesema jumla ya walimu 2,939 sawa na asilimia 19.5 walioomba kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya astashahada na stashahada...
  • Mapigano makali yazuka Damascus
    Mapigano makali yamezuka katika mji mkuu wa Syria Damascus jana Jumapili, baada ya waasi kupenya usiku katika maeneo ya mji huo yanayo...
  • DK KIGWANGALA: SERIKALI INATAMBUA UKATILI WANAOKUMBANA NAO WATOTO
    Na Mahmoud Ahmad Arusha Serikali inatambua ukatili wanaokumbana nao watoto ndio maana imeandaa mkakati wa taifa wa ...
  • Maskini Joyce Banda. Polisi Malawi watoa hati akamatwe
      LILONGWE- POLISI nchini, wametoa kibali cha kukamatwa kwa Rais wa z...
  • Dalili tano za wanawake wanaochepuka |
    ...
  • MSANII DIAMOND PLUTNAMZ AZINDUA PAFYUM YA CHIBU
      NA MWANDISHI MAALUM Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi huo uliofanyika jijini Dar es Salaam Aprili 21, 2017, Dimo...

Pages

  • Home
  • About Us
  • Contat Us
 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger