• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Wednesday, July 5, 2017

Home > > David Beckham ajitetea kwa kumpiga busu mwanawe

David Beckham ajitetea kwa kumpiga busu mwanawe

at 5:26 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


 
David Beckham akimpiga busu mwanawe wa kike mwenye umri wa miaka mitano mdomoni.

Nyota huyo wa zamani wa klabu ya Manchester United alikosolewa kwa kuchapisha picha akimpiga busu la mdomoni mwanawe wa kike Harper katika mtandao wa Instagram.

Akizungumza katika mahojiano ya moja kwa moja kupitia mtandao wa facebook, Beckham alisema kuwa ''tunataka kuwaonyesha wana wetu mapenzi''.

Mkewe David Beckham, Victoria pia alikosolewa kwa kuchapisha picha akimpiga busu mdomoni mtoto huyo wa kike mwaka uliopita
 
''Nilikosolewa kwa kumpiga busu mwanangu mwaka uliopita'',alisema. ''Pengine siwezi kumfanyia hivyo Brooklyn mwenye umri wa miaka 18 kwa kuwa ataona kama swala la kushangaza.Lakini nina mapenzi tele na wanangu''.

''Hivyo ndivyo nilivyolewa na Victoria na hivyo ndivyo tulivyo na watoto wetu''.

David Beckham, akimpiga busu mwanawe wa kike mwenye umri wa miaka mitano mdomoni

''Tunataka kuwaonyesha watoto wetu mapenzi na kuwalinda, kuwaangalia na kuwasaidia na unajua tuna mapenzi tele nao''.
Nyota wa filamu kutoka nchini Marekani Hilary Duff pia alipokea matusi mwaka uliopita baada ya kupigwa picha akimpiga busu mwanawe wa kiume katika eneo la Disneyland California. 

Kulikuwa na ujumbe uliomkosoa chini ya picha hiyo, lakini akijibu katika mtandao wa Instagram ,Hillary alitetea hatua yake ya kumpiga busu mwanawe.
Unknown

Author: Unknown

SHARE
  • Share
  • Tweet
  • Share
  • Pin
  • Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Tupate kupitia Facebook

Popular Posts

  • Gavana wa zamani afungwa miaka 14 Brazil
    Mahakama nchini Brazil imemuhukumu gavana wa zamani wa jimbo la Rio de Janeiro, Sergio Cabral  miaka 14 gerezani kwa kuhusika katika r...
  • Waliooa wake wengi kufungwa jela Canada
      Winston Blackmore afika mahakamani huko Cranbrook  Viongozi wawili wa dini nchini Canada wamepatikana na hatia ya kuoa wake weng...
  • Bondia aliyemshinda Manny Pacquiao asema hakupendelewa
    Mwalimu wa zamani aliyempiga Manny Pacquiao ili kushinda taji la uzani wa welterweight ukanda wa WBO amepuuzilia mbali madai kwamba h...

Popular Posts

  • Gavana wa zamani afungwa miaka 14 Brazil
    Gavana wa zamani afungwa miaka 14 Brazil
    Mahakama nchini Brazil imemuhukumu gavana wa zamani wa jimbo la Rio de Janeiro, Sergio Cabral  miaka 14 gerezani kwa kuhusika katika r...
  • Waliooa wake wengi kufungwa jela Canada
    Waliooa wake wengi kufungwa jela Canada
      Winston Blackmore afika mahakamani huko Cranbrook  Viongozi wawili wa dini nchini Canada wamepatikana na hatia ya kuoa wake weng...
  • Bondia aliyemshinda Manny Pacquiao asema hakupendelewa
    Bondia aliyemshinda Manny Pacquiao asema hakupendelewa
    Mwalimu wa zamani aliyempiga Manny Pacquiao ili kushinda taji la uzani wa welterweight ukanda wa WBO amepuuzilia mbali madai kwamba h...
  • Dk. Kigwangalla apiga tafu ujenzi wa jengo la Makao makuu ya CCM Mkoa wa Songwe
      Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashahuri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mh. Dk. Hami...
  • Korea Kaskazini yarusha kombora karibu na Japan
    Waziri wa Ulinzi wa Japan amesema kuwa makombora yaliyorushwa na Korea Kaskazini yameanguka katika eneo la bahari la Japan, takriban km...
  • Matumizi ya chumvi kwenye  chakula yawe na tahadhari
    Matumizi ya chumvi kwenye chakula yawe na tahadhari
    Mwandishi Wetu, TJNCDF SEHEMU kubwa ya milo anayokula binadamu huwekwa chumvi ili kuleta ladha nzuri ya kumvutia mla...

Pages

  • Home
  • About Us
  • Contat Us
 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger