TRA

TRA

Friday, July 28, 2017

KESI YA RUGEMALIRA NA SINGASINGA YAAHIRISHWA

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
James Rugemalira (mwenye mvi) na mwenzake Harbinder  Singh Sethi wakifikishwa mahakani.

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imeahirisha kesi inayowakabili mmiliki wa kampuni ya kufua umeme ya IPTL, Harbinder  Singh Sethi maarufu kama ‘Singasinga’ na  mfanyabiashara James Rugemalira wanaokabiliwa na mashtaka 12, yakiwemo ya kutakatisha fedha na kuisababisha serikali hasara.



Rugemalira na Harbinder Singh Sethi baada ya kutoka kortini.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi Agosti 3 mwaka huu, mbele ya Hakimu Mkazi MkuuHuruma Shaidi baada ya wakili wa serikali, kueleza kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger