TRA

TRA

Friday, July 28, 2017

MKE WA MUGABE AVUNJA UKIMYA KUHUSU RAIS MPYA

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Mke wa Rais wa Zimabwe, Robert Mugabe, Grace Mugabe amemtaka kiongozi huyo kumtangaza mrithi wake wa urais ili kuondoa minong’ono kuhusu mtu atakayemrithi akiondoka madarakani.
”Rais hafai kuwa mwoga kumchagua mrithi wake na neno lake litakuwa la mwisho”, alisema Bi Grace Mugabe.Rais Mugabe ndio kiongozi mzee zaidi duniani na chama chake cha ZANU PF kimemchagua kuwania urais kwa mara nyingine mwaka ujao.
Lakini makundi ya wapinzani yamekuwa wakijipanga kuwania urais ili kuimarisha uwezo wao huku kukiwa na wasiwasi kuhusu hali yake ya kiafya.

Chanzo: BBC Swahili

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger