TRA

TRA

Saturday, September 2, 2017

BREAKING NEWS; MUHINGO RWEYEMAMU HATUNAYE TENA

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



TANZIA
BREAKING NEWS;Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, Bw. Muhingo Rweyemamu, amefariki dunia mapema leo asubuhi Septemba 2, 2017.
Bw. Rweyemamu aliteuliwa kwa mara ya kwanza kuwa Mkuu wa wilaya ya Makete mkoani  Njombe (Iringa wakati huo), na Rais wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete. Baadaye alihamishiwa wilayani Handeni mkoani Tanga. Bw. Rweyemamu pia alipata kuwa mwandishi wa habari na mhariri katika  magazeti mbali mbali na mara ya mwisho alikuwa mhariri wa gazeti la RAI.
Taarifa ZAidi zitapatikana baadaye kadri zitakavyotufikia

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger