TRA

TRA

Saturday, September 9, 2017

RPC katoa ufafanuzi ajali iliyojeruhi askari na mahabusu

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Ahmed Msangi ametolea ufafanuzi kuhusu ajali iliyohusisha gari la Polisi lililokuwa limebeba Mahabusu kugongana na Toyota Vits kwenye Round about ya Samaki Mwanza ambapo ilisababisha majeruhi wawili; Askari Polisi na Mahabusu ambao tayari wameruhusiwa baada ya kutibiwa katika Hospital ya Mkoa Sekou Toure.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger