Baada ya siku ya
kwanza ya mazungumzo mjini Brussels, Ubelgiji, Uingereza imekubali
mpango wa Muungano wa Ulaya wa kujiondoa kutoka kwa muungano huo kwa
hatua.
Wajumbe wa Uingereza na Umoja wa Ulaya katika mazungumzo ya BREXIT
Aidha amesema ni wazi kwamba pande zote mbili zinataka kupata kustakabali mzuri wa uhusiano wao.
- Aliyeongoza Brexit akutana na Donald Trump
- Kiongozi wa Brexit hutubu mkutano wa Trump
- Theresa May: Niko tiyari kujitoa mazungumzo ya Brexit
CHANZO: BBC
SHARE









No comments:
Post a Comment