TRA

TRA

Friday, July 14, 2017

Papa Francis atoa utaratibu mpya wa kuwatangaza watakatifu

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


 Papa anasema mabadiliko haya yanaweza pelekea watu wengi kuwa watakatifu

Baba mtakatifu papa Francis, ameongeza vigezo na utaratibu wa kuwatangaza watakatifu katika kanisa katoliki, katika kile kinachoonekana kama mabadiliko makubwa kufanywa katika kanisa hilo baada ya karne nyingi zilizopita.

Katika barua iliyotolewa na kanisa hilo mjini Vatican imeeleza juu ya hatua zitakazoashiria utakatifu ni pamoja na kitendo cha kuacha maisha ya mtu ili kuokoa wengine Kama kitendo cha tofauti na kuuawa, kuelekea njia ya utakatifu.

Tabia ya kujia maisha yako hadi kufa kama njia ya kutekeleza sheria za kikristo, na kwamba kingeweza kukubaliwa na wakatoliki na inaweza kutumika kwa Wakatoliki ambao kwa hiari walichukua nafasi ya Wayahudi waliotakiwa kuuawa katika kambi za kifo za Nazi, kwa mfano.

Hali hiyo inaingia katika kipengele cha nne katika hatua za kutangazwa kwa watakatifu. Baada ya kufariki, uzuri wa Kikristo wa kipekee na sifa ya ukamilifu baada ya kifo ni kutangazwa mtakatifu ama mwenye heri.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger